Jabari XVI
JF-Expert Member
- May 31, 2018
- 1,075
- 1,466
Hata hivyo matangazo ya radioni walikuwa wanatuchota sana na tukaamini kwamba hawa wachezaji wa zama zile walikuwa ni extra talented, mi nilipoanza kwenda uwanja wa taifa ndiyo nikaona mwenyewe mtangazaji anaweza kusema anakwenda anakwenda wakati mtu yupo na speed ya kawaida tuHawa hamna kitu aisee. Hata siwaelewi kabisa. Enzi zile Simba alikuwa mteja mteja kweli kwa Yanga. Kina Sekilojo Chambua walikuwa moto kweli kweli. Yaani hutoki kwenye radio.
Sent using Jamii Forums mobile app