Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Kuelekea kwenye mchezo wa April 30, 2022 kati ya Watani wa Jadi, Yanga SC na Simba SC mchezo wa Ligi Kuu Tanzania, ambao utapigwa kwenye Dimba la Benjamin Mkapa Jiji Dar es salaam, hatimaye Mawaziri wawili watangazwa kuwa wageni rasmi kwenye mchezo huo.
Klabu ya Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mchezo huo baada ya kumtangaza mgeni rasmi, Mheshimiwa Innocent Bashungwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi.
Bodi ya Ligi nao wamemtangaza mgeni rasmi, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana
Klabu ya Yanga ambaye ndo mwenyeji wa mchezo huo baada ya kumtangaza mgeni rasmi, Mheshimiwa Innocent Bashungwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tamisemi.
Bodi ya Ligi nao wamemtangaza mgeni rasmi, Mheshimiwa Mohamed Mchengerwa Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo.
Kulipewa Mwana Kulitaka Mwana