Yanga yamtema Chirwa, Kalengo achukua nafasi yake. (Dili Halikufanikiwa)

Yanga yamtema Chirwa, Kalengo achukua nafasi yake. (Dili Halikufanikiwa)

Tuanzie kwa bei. Nitajie mchezaji wa huko unakosema wewe aliyenunuliwa ghali kwa bei za huko halafu baada ya nusu msimu akatolewa kwa mkopo. Kwa mifano ya huku milioni 200 ni ghali sana kwa wachezaji wetu .Cha kushangaza ni Chirwa kununuliwa kwa milioni 200 halafu atolewe kwa mkopo,tena timu iliyomnunua ilipe nusu mshahara wake.
Hivi Falcao story yake ikoje?
 
Back
Top Bottom