Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
😆😆😆😆😆 Wana yanga mnisamehe kwa lugha iliyotumika , hakukuwa na namna ya kufanya .Hii habari umeileta Kimbumbumbu
, na hasa baada ya Kakolanya kuondoka baada ya kudhulumiwa hela zake.
Huyu mleta mada sometime huwaga anachuki sana na mara nyingi huwaga anajificha kwenye mgongo wa chadema kama viongozi wa dini wanavyojifichaga kwenye mgongo wa diniHii habari umeileta Kimbumbumbu
Aiseeh ,washakusamehe[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Wana yanga mnisamehe kwa lugha iliyotumika , hakukuwa na namna ya kufanya .
mkuu hili ni jukwaa la michezo , tuachane kidogo na chadema , wako wanachadema ambao ni wanayanga lakini hatukuyaangalia hayoHuyu mleta mada sometime huwaga anachuki sana na mara nyingi huwaga anajificha kwenye mgongo wa chadema kama viongozi wa dini wanavyojifichaga kwenye mgongo wa dini
mkuu hili ni jukwaa la michezo , tuachane kidogo na chadema , wako wanachadema ambao ni wanayanga lakini hatukuyaangalia hayo