DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
[emoji599]Kama kila kitu kitaenda sawa, BOBOSI BYARUHANGA kutoka Uganda [emoji1254] atajiunga na Yanga kama mbadala wa Feisal Salum, uwezekano huo ni mkubwa mno mpaka hivi sasa.
Na hizo ndio shughuli zake Bobosi, kwenye majukumu yake ya kawaida uwanjani, the Premier league isn’t ready for this talent[emoji119]
Video Credit: @startimesuganda ,
Chanzo kingine kinahabarisha....
|UPDATE
[emoji871]Kiungo wa Uganda [emoji1254] Bobosi Byaruhanga bado suala lake ni zito kwani mchezaji huyo ana mkataba na klabu MFK Vyskov ya Czech [emoji1086] licha ya mchezaji huyo kushindwa kujiunga na klabu hiyo na mpaka sasa bado yupo nchini Uganda na hachezi.
[emoji871]Shida kubwa inaelezwa ilikuwa ni kwa wakala wake kuchanganya mambo licha ya Vipers kutoa ITC yake lakini baadae klabu yake mpya iliwataarifu aendelee kucheza vipers mpka mwezi January kisha atajiunga nao lakini tayari ITC yake ilishatoka....Bobosi anahusishwa na Yanga lakini ni lazima makubaliano yawe kati ya MFK na Yanga ili mchezaji huyo ajiunge na Yanga,tofauti na hapo atalazimika kusafiri kwenda Ulaya mwezi ujao.
[emoji871]KUHUSU MANZOKI SOON TAARIFA KAMILI ITAKUWA HAPA ENDELEA KUFATILIA PAGE YETU.
@galsportbettingtz @sifex_aircargo
Na hizo ndio shughuli zake Bobosi, kwenye majukumu yake ya kawaida uwanjani, the Premier league isn’t ready for this talent[emoji119]
Video Credit: @startimesuganda ,
Chanzo kingine kinahabarisha....
|UPDATE
[emoji871]Kiungo wa Uganda [emoji1254] Bobosi Byaruhanga bado suala lake ni zito kwani mchezaji huyo ana mkataba na klabu MFK Vyskov ya Czech [emoji1086] licha ya mchezaji huyo kushindwa kujiunga na klabu hiyo na mpaka sasa bado yupo nchini Uganda na hachezi.
[emoji871]Shida kubwa inaelezwa ilikuwa ni kwa wakala wake kuchanganya mambo licha ya Vipers kutoa ITC yake lakini baadae klabu yake mpya iliwataarifu aendelee kucheza vipers mpka mwezi January kisha atajiunga nao lakini tayari ITC yake ilishatoka....Bobosi anahusishwa na Yanga lakini ni lazima makubaliano yawe kati ya MFK na Yanga ili mchezaji huyo ajiunge na Yanga,tofauti na hapo atalazimika kusafiri kwenda Ulaya mwezi ujao.
[emoji871]KUHUSU MANZOKI SOON TAARIFA KAMILI ITAKUWA HAPA ENDELEA KUFATILIA PAGE YETU.
@galsportbettingtz @sifex_aircargo