Yanga yapiga picha rasmi ya msimu kwa jezi za mazoezi

Yanga yapiga picha rasmi ya msimu kwa jezi za mazoezi

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kuna siku niliwahi kuongelea "obsession" waliyonayo viongozi wa sasa wa Yanga juu ya mambo yanayofanana na Simba, kuanzia rangi za jezi hadi wachezaji wake.

Katika jambo la kushangaza sana na naamini litaleta mjadala mkubwa ndani na nje ya klabu hiyo, leo wamepiga picha rasmi ya msimu ya timu nzima kwa kutumia siyo kit ya kwanza ya nyumbani, siyo kit ya pili ya ugenini, siyo kit ya tatu, bali jezi za mazoezi, kisa tu ni nyeupe.

Yajayo yanafurahisha.
 
Kuna siku niliwahi kuongelea "obsession" waliyonayo viongozi wa sasa wa Yanga juu ya mambo yanayofanana na Simba, kuanzia rangi za jezi hadi wachezaji wake.

Katika jambo la kushangaza sana na naamini litaleta mjadala mkubwa ndani na nje ya klabu hiyo, leo wamepiga picha rasmi ya msimu ya timu nzima kwa kutumia siyo kit ya kwanza ya nyumbani, siyo kit ya pili ya ugenini, siyo kit ya tatu, bali jezi za mazoezi, kisa tu ni nyeupe.

Yajayo yanafurahisha.
Hili jambo limenishangaza sana, labda wenyewe watatoa ufafanuzi kuhusu hilo. Ila ni jambo ambalo linafikirisha kwa kweli.

Ova
 
Kuna siku niliwahi kuongelea "obsession" waliyonayo viongozi wa sasa wa Yanga juu ya mambo yanayofanana na Simba, kuanzia rangi za jezi hadi wachezaji wake.

Katika jambo la kushangaza sana na naamini litaleta mjadala mkubwa ndani na nje ya klabu hiyo, leo wamepiga picha rasmi ya msimu ya timu nzima kwa kutumia siyo kit ya kwanza ya nyumbani, siyo kit ya pili ya ugenini, siyo kit ya tatu, bali jezi za mazoezi, kisa tu ni nyeupe.

Yajayo yanafurahisha.
Inakuuma?
 
nami nimeshangaa sana ..yanga na rangi nyeupe wapi na wapi

Hili jambo limenishangaza sana, labda wenyewe watatoa ufafanuzi kuhusu hilo. Ila ni jambo ambalo linafikirisha kwa kweli.

Ova

Unawapangia rangi?? Tatizo kubwa humu ndani ni ujuaji kila kitu mnakijua so sad

Pengine walikwepa aibu ya wanaume wazima kupiga picha wakiwa wamevaa Vitenge & dela

Inakuuma?
Haya yatakuwa masharti ya mganga haya si bure. Ndiyo maana jana wakajaribu kila njia kufunga magoli yanayofanana na yale waliyofunga Simba juzi. Dube na magoli ya mashuti ya mbali wapi na wapi?
 
Kuna siku niliwahi kuongelea "obsession" waliyonayo viongozi wa sasa wa Yanga juu ya mambo yanayofanana na Simba, kuanzia rangi za jezi hadi wachezaji wake.

Katika jambo la kushangaza sana na naamini litaleta mjadala mkubwa ndani na nje ya klabu hiyo, leo wamepiga picha rasmi ya msimu ya timu nzima kwa kutumia siyo kit ya kwanza ya nyumbani, siyo kit ya pili ya ugenini, siyo kit ya tatu, bali jezi za mazoezi, kisa tu ni nyeupe.

Yajayo yanafurahisha.
Je zitanuka
 
Haya yatakuwa masharti ya mganga haya si bure. Ndiyo maana jana wakajaribu kila njia kufunga magoli yanayofanana na yale waliyofunga Simba juzi. Dube na magoli ya mashuti ya mbali wapi na wapi?
Muulize Manula
 
Back
Top Bottom