Yanga yapigwa nyundo ya Tsh. Milioni 82 na CAF

Hawa wehu nini, Wydad Casablance wapiga fataki na Tochi dhidi ya Simba, wamechukuliwa hatua gani?

Kuvamiwa na kupuliziwa sumu Yanga wanahusika vipi? Kwani yanga ni kampuni ya ulinzi? Walipuliziwa sumu halafu wakabaki hai?!

Wakate rufaa!!
 
Nilisema siku ile mkanibishia, mngetoa ulinzi wa kutosha ikiwemo mahali basi lilipopaki mngekuwa na pa kujitetea na hata hii incident isingetokea au walinzi wangekuwa wa kwanza kutoa mrejesho nini kimetokea. Hii ni wahuni wenu tu mliwatuma ila ni ujinga mkubwa sana mmefanya aisee.

Tukiyaacha hayo, huu uwanja wa Mkapa ukiendelea hivi utakuja kufungiwa, matukio ya hovyo yamezidi sana msimu huu mmoja.
 
Afrika kuna upuuzi mwingi sana, eti wameibiwa dola 5000
 
Uzuri tumewalioa kisasi nje ndani! Pesa kitu gani bhana. Na bado kuna nafasi ya kukata rufaa. Naamini Wanasheria wa timu watakaa na kuisoma hiyo hukumu kwa kina.
Yanga ina wanasheria basi? Ongea na morrison akueleze walivyo weupe
 
Majambazi yamepigwa nyundo
UTO
BAHLABANE BA NTWA [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…