BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la soka Afrika (CAF) imeitoza Klabu ya Yanga faini ya jumla ya dola Elfu 35 (takribani Tsh milioni 82) kwa matukio kadhaa kuhusiana na klabu ya Rivers United ya Nigeria.
1. Yanga SC imetozwa faini ya dola Elfu kumi kwa matumizi ya fataki na vitochi kwenye mchezo dhidi ya Rivers United katika dimba la Benjamin Mkapa.
2. Yanga imetozwa faini ya dola Elfu 35 ($ 25,000) kutokana na tukio la basi la timu waliokuwa wamepanda Rivers United kuvamiwa na kuibiwa pesa takribani dolla 5200 na kupuliziwa kemikali inayodaiwa kuwa ni sumu
Pesa hizo zinapaswa kulipwa ndani ya siku 60 huku Yanga ikipewa siku tatu za kukata rufaa baada ya siku ya kutolewa kwa Uamuzi huom
Aidha CAF imeisisitiza Yanga kuhakikisha usalama wa Timu pinzani kuelekea mchezo wa Nusu fainali ya #CAFCC dhidi ya Marumo Gallants katika dimba la Benjaminn Mkapa ambapo visa kadhaa vimeripotiwa hukusiana na uwanja huo.
1. Yanga SC imetozwa faini ya dola Elfu kumi kwa matumizi ya fataki na vitochi kwenye mchezo dhidi ya Rivers United katika dimba la Benjamin Mkapa.
2. Yanga imetozwa faini ya dola Elfu 35 ($ 25,000) kutokana na tukio la basi la timu waliokuwa wamepanda Rivers United kuvamiwa na kuibiwa pesa takribani dolla 5200 na kupuliziwa kemikali inayodaiwa kuwa ni sumu
Pesa hizo zinapaswa kulipwa ndani ya siku 60 huku Yanga ikipewa siku tatu za kukata rufaa baada ya siku ya kutolewa kwa Uamuzi huom
Aidha CAF imeisisitiza Yanga kuhakikisha usalama wa Timu pinzani kuelekea mchezo wa Nusu fainali ya #CAFCC dhidi ya Marumo Gallants katika dimba la Benjaminn Mkapa ambapo visa kadhaa vimeripotiwa hukusiana na uwanja huo.