OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mkuu social media hazipo kukufurahisha wewe. Nakushauri uchague habari, useless news kwako zipotezee tu mkuu. Sisi wengine ni wanazi. Tunapenda hizi stori, bila jokes hakuna utani wa jadi.Okw mnakera wakati mwingine Bwana. Mtu unafungua Uzi ukidhani kuna cha maana unakuta mwenzio kaandika utopolo mtupu Hadi unajutia MB zako? Wewe binafsi unamwelewa Mtu anayeamini kuvaa No.6 lazima ucheze No.6 uwanjani?
Manara kusema baba yake na JK tu ndo wazima unamchukulia mifuko mingapiNaahidi kuchangia mifuko 20 ya saruji iwapo itahitajika.
Hata ukimchukulia wewe hiyo mifuko, hakuna shida. Mimi nimeahidi kuchangia ujenzi wa sanamu ya Rage.Manara kusema baba yake na JK tu ndo wazima unamchukulia mifuko mingapi
Simba haina cha kushindana na Uto. Hapo anatafutwa Al Ahl na Mamelod.Simba inasajili mashambuliaji wengi ili wafanye rotation kubahatisha wa kuipita beki ya yanga
HIi ndio shida ya kuamka asubuhi nyumbani mume wa dada yako halafu unawahi sebuleni kugombea remote na house girlKila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.
Kazi ipo msimu ujao
Yanga haina cha kushindana na makolo kama alivyosema aliyepostSimba haina cha kushindana na Uto. Hapo anatafutwa Al Ahl na Mamelod.
Bonge moja la comment!!Timu zetu za kariakoo achana nazo tusubirie msimu uanze kwenye kusajili Kuna shida sana
Timu pekee imefanya usajili Kwa uhakika n Azam tyr wameboresha kambi yao wanapiga tizi kinomaaa cc bado adi leo tunashindana na mausajili...
Ndio nashangaaKwani Yanga atakua anacheza na simba pekee msimu mzima?
Wewe zwazwaaKila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.
Kazi ipo msimu ujao
Nina uhakika wewe ni wa simbaTimu zetu za kariakoo achana nazo tusubirie msimu uanze kwenye kusajili Kuna shida sana
Timu pekee imefanya usajili Kwa uhakika n Azam tyr wameboresha kambi yao wanapiga tizi kinomaaa cc bado adi leo tunashindana na mausajili...
nyie madunduka hamna kabisa mawazo kama taifa hili linahitaji angalau klabu moja iliyowahi kunyakua ubingwa wa afrika,ndo maana kila siku nyie robo fainali tu kwa mawazo ya kijinga kama hayo,hamuendelei mbele nyie robo tuKila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.
Kazi ipo msimu ujao
Nakazia
Mimi nikimkumbuka Sawakubwa machozi yananitokaKila nikimkumbuka okrah magic naishiwa nguvu
Shaulile na karhabaMnasajili kipa wa nje kwa lengo la kuwazuia kina nani?
Inavyoandika utadhani msimu ujao mechi za timu mbili tu (Yanga na Simba). Akili za kishabiki bwana......Kila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.
Kazi ipo msimu ujao
We inakuuma nini sasa?Hivi nyie Simba hamnaga mchezaji mwingine wa kusajili zaidi ya konde boy,maana tokea aondoke mnamlilia mpaka amerudi
Mkuu tofautisha utani na ujingaTatizo mna madingi humu mnachukulia michezo kama ibada full kununa. Hatuwezi kwenda hivyo. Michezo ni furaha, tena kuna utani wa jadi. Mambo ya Simba na Yanga ukiyachukulia hivyo utaumiza kichwa bila sababu.