Yanga yasajili mabeki wengi ili kumdhibiti Louis Micquisone

Yanga yasajili mabeki wengi ili kumdhibiti Louis Micquisone

Kila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.

Kazi ipo msimu ujao
Simba imemsajili lini Miquisone?
 
Watakuwa wanacheza wote kwenye mechi na huyo mokusoni?
 
Kila ukifatilia usajili wa wenzetu wa jangwani unaona wamesajili mabeki, mara Fred kutoka Uganda na sasa hivi beki kutoka Asec, hiyo ni kutokana na mawinga hatari waliopo Simba ss hv akiwemo Louis Micquisone, Kramo, Kibu Denis nk.

Kazi ipo msimu ujao
huyo mikisome haji simba

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom