Yaani yanga inawaza kusuka kikosi kwa ajili ya kuifunga simba? Wakati simba ina suka kikosi kupambana na wakina Tp mazembe na Esperance?
kweli awazavyo tai ni tofauti na awavyo kuku. Huwezi shindana na kikosi cha kimataifa mtani wewe pambana na wakina namungo fc ndio levo yako mtani. Simba ni levo ingine mjomba.