brave one
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 4,879
- 7,386
Habari kutoka Rwanda zimethibitisha klabu ya Yanga kuwasajili wachezaji wa 2 wa timu ya Taifa ya Rwanda kwa miaka Kila mmoja
Issa Bigirimana kutokea APR anaecheza Kama straiker na Sibomana Papy anaecheza winger ya kushoto kutoka Victoria.
Kocha Zahera ameanza kukisuka kikosi chake msimu ujao kupambana na bingwa Simba msimu ujao
Issa Bigirimana kutokea APR anaecheza Kama straiker na Sibomana Papy anaecheza winger ya kushoto kutoka Victoria.
Kocha Zahera ameanza kukisuka kikosi chake msimu ujao kupambana na bingwa Simba msimu ujao