Wakimataifa1
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 326
- 100
tawi la yanga dodoma mjini wameshindwa kulipa pango la ofisi.
ofisi hiyo iliokuwa katika jengo la mapinduzi club majengo yanayomilikiwa na ccm maeneo ya bahi road.
wanachama wa yanga wamelalamikia uongozi uliopo madarakani toka ulivyochaguliwa miaka minne iliopita hawajaitisha mkutano zaidi ya ule wakutangaza kadi mpya wanaouza bank ya posta.
kipngozi aliochaguliwa kazi kupeleka maneno ya uwongo makao makuu yanga dar.kila wakimshauri aitishe mkutano anapiga chenga wanachama hapa wanasema hawana haja ya kulipia tena kadi
ofisi hiyo iliokuwa katika jengo la mapinduzi club majengo yanayomilikiwa na ccm maeneo ya bahi road.
wanachama wa yanga wamelalamikia uongozi uliopo madarakani toka ulivyochaguliwa miaka minne iliopita hawajaitisha mkutano zaidi ya ule wakutangaza kadi mpya wanaouza bank ya posta.
kipngozi aliochaguliwa kazi kupeleka maneno ya uwongo makao makuu yanga dar.kila wakimshauri aitishe mkutano anapiga chenga wanachama hapa wanasema hawana haja ya kulipia tena kadi