mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Labda ni Bud Spence.Shushushu ana mwili mkubwa vile si atashtukiwa hata kabla hajaanza kazi.
Movies spy actor za miaka ya 1970..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ni Bud Spence.Shushushu ana mwili mkubwa vile si atashtukiwa hata kabla hajaanza kazi.
hapa alikuwa na kilo 400 tuu, sasa hivi ana kilo 890Sbushushu tumbotumbo akiwa na ujumbe wake wakimwagilia mioyo yao kwenye viunga vya Khartoum jana jioniView attachment 2383586
Mkuu kuna ujinga unaandikwa humu unatia hasira sana.Al Hilal wamezidiwa kifedha na yanga[emoji23][emoji23].Al Hilal beki wao analipwa one billion.
Bro nlisha kukataza kuni quote mambo yako ya kijinga please respect mesasa makolo team mbovu ni ya kuitolea mfano? toa mifano ya teams nyingine kubwa level ya yanga kama mamelodi, raja, waydad, berkane,mazembe
yaani unanipangia nani wa ku m quote kwenye huu uzi niliouanzisha mimi kwa kutumia vyanzo vyangu vya ki intelejensia? GERRAR HERE idiot, dunderhead kabisa , jingaz , acha ku comment kwenye huu uziBro nlisha kukataza kuni quote mambo yako ya kijinga please respect me
usikasirike mkuu toa tu elimu kwa wajinga wasiojua ukubwa wa dar young african kuanzia uwekezaji, quality ya wachezaji na ukubwa wa profesa nabi, teams zenye level za yanga ni kama 4 tuMkuu kuna ujinga unaandikwa humu unatia hasira sana.
hongera yao mashushu wpge kazi ssYanga SC ni timu kubwa sana wakati timu nyingine hubabaika sana na kutanguliza mashushushu wiki 2 kabla wao wanapeleka baada ya mechi ya kwanza, huo ndiyo ukubwa wa timu inayojiamini. Yaani kiwango cha Mamelodi, Raja, Wydad.
Sasa zikiwa zimebaki siku 5 ndipo Yanga wamepeleka mashushushu wawili Khartoum kuweka mambo sawa kabla ya kwenda kupindua meza kwa kuwachapa timu ndogo ya Al Hilal mabao 2-0.
Anayebisha abishe tu lakini Al Hilal kazidiwa kifedha na Yanga, kazidiwa ubora wa wachezaji, kazidiwa ubora wa benchi la ufundi.
Mwakalebela na shushushu mwenzake wanatarajiwa kufanya kazi nzuri tofauti na iliyofanywa na shushushu Senzo aliyetangulizwa kule Rivers State
Nigeria akiambatana na mpishi wakafanikisha kuweka sawa mambo ya ugali na dagaa wakisahau mambo mengine hadi Jenerali Bugatti alipoingilia kati pale uwanjani na kuwaambia wachezaji "ZIS IS WAR ZIS WAR, WAR IS ZEA".
***Hii picha haihusiani na mashushu bali ni kikosi kazi cha kushughulika na kesi za Yanga huko CAS na FIFA na huwa kinashindwa kesi kila siku! Hapa kilikuwa mubashara mtandaoni kikipambana na wakili msomi Bm3 wakaangukia pua
View attachment 2383545
🤣🤣🤣🤣😳😁Yanga SC ni timu kubwa sana wakati timu nyingine hubabaika sana na kutanguliza mashushushu wiki 2 kabla wao wanapeleka baada ya mechi ya kwanza, huo ndiyo ukubwa wa timu inayojiamini. Yaani kiwango cha Mamelodi, Raja, Wydad.
Sasa zikiwa zimebaki siku 5 ndipo Yanga wamepeleka mashushushu wawili Khartoum kuweka mambo sawa kabla ya kwenda kupindua meza kwa kuwachapa timu ndogo ya Al Hilal mabao 2-0.
Anayebisha abishe tu lakini Al Hilal kazidiwa kifedha na Yanga, kazidiwa ubora wa wachezaji, kazidiwa ubora wa benchi la ufundi.
Mwakalebela na shushushu mwenzake wanatarajiwa kufanya kazi nzuri tofauti na iliyofanywa na shushushu Senzo aliyetangulizwa kule Rivers State
Nigeria akiambatana na mpishi wakafanikisha kuweka sawa mambo ya ugali na dagaa wakisahau mambo mengine hadi Jenerali Bugatti alipoingilia kati pale uwanjani na kuwaambia wachezaji "ZIS IS WAR ZIS WAR, WAR IS ZEA".
***Hii picha haihusiani na mashushu bali ni kikosi kazi cha kushughulika na kesi za Yanga huko CAS na FIFA na huwa kinashindwa kesi kila siku! Hapa kilikuwa mubashara mtandaoni kikipambana na wakili msomi Bm3 wakaangukia pua
View attachment 2383545
Ila hiki kichwa hiki[emoji23]sasa makolo team mbovu ni ya kuitolea mfano? toa mifano ya teams nyingine kubwa level ya yanga kama mamelodi, raja, waydad, berkane,mazembe