Yanga yatanguliza mashushu Sudan, mmoja kati ya walioenda ni Mwakalebela

Bro nlisha kukataza kuni quote mambo yako ya kijinga please respect me
yaani unanipangia nani wa ku m quote kwenye huu uzi niliouanzisha mimi kwa kutumia vyanzo vyangu vya ki intelejensia? GERRAR HERE idiot, dunderhead kabisa , jingaz , acha ku comment kwenye huu uzi
 
Mkuu kuna ujinga unaandikwa humu unatia hasira sana.
usikasirike mkuu toa tu elimu kwa wajinga wasiojua ukubwa wa dar young african kuanzia uwekezaji, quality ya wachezaji na ukubwa wa profesa nabi, teams zenye level za yanga ni kama 4 tu
 
hongera yao mashushu wpge kazi ss
 
🀣🀣🀣🀣😳😁
Yaani Mwaka Lebela shushushu. Kweli Uto mko fit
 
Wamepangiwa Al hilal tu.wanalia Lia watawaweza mamelod,raja Casablanca na wydad?
Al ahly?
 
njaakalihatari kuna Utopolo amebeba mada yako kama ilivyo akaipeleka kule Istagram kwa page yake,imebidi nicheke.Ni kwamba hata hajui kama unafanya sarcasm kwa Utopolo,yeye kabeba kama ilivyo[emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…