Yanga yatenga Billion 7 za usajili msimu ujao

Yanga yatenga Billion 7 za usajili msimu ujao

Kumekucha yanga imetenga billion 7 kufanya usajili msimu ujao

Pia wametenga mabilion kujenga viwanja viwili vya mazoezi, wenye nyasi bandia na nyasi za kawaida kigamboni.

Timu ya wananchi hiyo Mimi sina neno
Hizo b7 ziko kwenya akaunti ya yanga au?? Umaskini Wa mawazo no mbaya mno!!
 
bajej ni 7b ya mwaka 21/22 kati ya hiyo mishahara ni 4. Kitu kuna bonasi kuna usajil 2 b .sijui shida ni nin au we ndo mchambuzi wa timu
 
Back
Top Bottom