Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 3,585
- 8,106
Mpira umemalizika kwa matokeo kuamuliwa kwa penati ( Yanga 4- 3 Azam)
Yanga waneonyesha kiwango cha hali ya juu sana cha mchezo katika mechi ya leo
Dakika 90 timu zote zilitoshana nguvu ya bao moja kwa moja
Haruna Niyonzima amepewa zawadi ya laki tano ( 500,000) baada ya kuchaguliwa kuwa Man of the Match
Yanga waneonyesha kiwango cha hali ya juu sana cha mchezo katika mechi ya leo
Dakika 90 timu zote zilitoshana nguvu ya bao moja kwa moja
Haruna Niyonzima amepewa zawadi ya laki tano ( 500,000) baada ya kuchaguliwa kuwa Man of the Match