Yanga yatinga robo fainali ligi ya mabingwa kwa kuichabanga Copo mabao 5 0

Yanga yatinga robo fainali ligi ya mabingwa kwa kuichabanga Copo mabao 5 0

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Mwaka huu msipobeba ubingwa hambebi tena, soka mliloonesha leo kwa Copo sio la kawaida, mbarikiwe sana wanaume nyie.

Ndio maana sikushangaa Kamwe kwenda Morocco kwenye droo, tuombe mungu mpangiwe vibonde wenu Simba muingie nusu fainal.

Kwa ushindi wa Leo Yanga wameipita Simba kwenye ranks za Caf na sasa wako nafasi ya 5 baada ya kuipomorosha Wydad.

Kweli mwaka huu mtawafunga hata shetani au malaika.
 
Kopo?
Ila nilijua tu lazima timu yetu itinge robo kwa kumchapa mtu kono
 
Mwaka huu msipobeba ubingwa hambebi tena, soka mliloonesha leo kwa Copo sio la kawaida, mbarikiwe sana wanaume nyie.

Ndio maana sikushangaa Kamwe kwenda Morocco kwenye droo, tuombe mungu mpangiwe vibonde wenu Simba muingie nusu fainal.

Kwa ushindi wa Leo Yanga wameipita Simba kwenye ranks za Caf na sasa wako nafasi ya 5 baada ya kuipomorosha Wydad.

Kweli mwaka huu mtawafunga hata shetani au malaika.
😀
 
Hongereni sana Wazee wa nyuma mwiko
 
Mwaka huu msipobeba ubingwa hambebi tena, soka mliloonesha leo kwa Copo sio la kawaida, mbarikiwe sana wanaume nyie.

Ndio maana sikushangaa Kamwe kwenda Morocco kwenye droo, tuombe mungu mpangiwe vibonde wenu Simba muingie nusu fainal.

Kwa ushindi wa Leo Yanga wameipita Simba kwenye ranks za Caf na sasa wako nafasi ya 5 baada ya kuipomorosha Wydad.

Kweli mwaka huu mtawafunga hata shetani au malaika.
Kwa kuweka kumbukumbu sawa, Yanga imeingia hatua ya 32 bora! Na siyo robo fainali.
 
Mwaka huu msipobeba ubingwa hambebi tena, soka mliloonesha leo kwa Copo sio la kawaida, mbarikiwe sana wanaume nyie.

Ndio maana sikushangaa Kamwe kwenda Morocco kwenye droo, tuombe mungu mpangiwe vibonde wenu Simba muingie nusu fainal.

Kwa ushindi wa Leo Yanga wameipita Simba kwenye ranks za Caf na sasa wako nafasi ya 5 baada ya kuipomorosha Wydad.

Kweli mwaka huu mtawafunga hata shetani au malaika.
Kama nyie mliloonyesha dhidi ya timu ya mkoa wa Kilimanjaro,,
 
Back
Top Bottom