Yanga yatwaa ubingwa VPL msimu wa 2015 / 2016


Sisi wanachama wa Yanga Mabingwa Wapya na wa Kihistoria tuliobeba ubingwa kwa mara 26 TUMEKUSAMEHE BILA KUKUKATA KODI YA AINA YOYOTE.

Ukishajua tofauti ya Uwanja na Ukuta unaozunguka Uwanja then rudi tena hapa na Ngonjera zako.
 
Pole mkuu,hakuna namna nyingine inabidi utupongeze tu hadharani huku ukililia chumbani
 
mikiaaaaaaa...! njooni muone tumekinukisha huku... ila wenye povu hatuwataki mana wasije wakatufia bure.
 


KUNA KAHARUFU KWA WIVU HAPA

ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI PIA TUNAWAPONGEZA MAREFA KWA KUIBEBA MWADUI IKAPELEKEA SIMBA SC KUFUNGWA BAO MOJA KWA BILA.

UKIWEZA KUBWEBA SHARTI UBEBEKE UTAMBEBA VIPI NA KUFANIKISHA USHINDI MTU ANAFUNGWA NA MWADUI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…