Yanga yatwaa ubingwa VPL msimu wa 2015 / 2016

Yanga yatwaa ubingwa VPL msimu wa 2015 / 2016

c1ff581b15d04a12aa8c574bac5e8a58.jpg
 
Nachukua nafasi kuipongeza klabu ya Yanga Kwa kutwaa ubingwa wa ligi Kuu 2016/2017.Pia nawapongeza wachezaji wao Kwa kujituma muda wote wa mashindano.Shukurani za pekee ziende Tff, marefa waliofanikisha ushindi huo.Wakati Yanga inatwaa ubingwa huu UWANJA WA KISASA WA KAUNDA UMEDONDOKA .Tunamwomba Rais wa Yanga Mh.Diwani wa Mbagala Yusuf Manji kabla hajachukua fomu tena akamilishe AHADI yake ya kuuwekea NYASI ZA BANDIA uwanja huo. Mwisho nawapongeza mashabiki wa Yanga Kwa uvumilivu wao wa kuvumilia ahadi za UONGO za Rais wa Yanga Mh.Diwani Yusuf Manji.YANGA OYEE

Sisi wanachama wa Yanga Mabingwa Wapya na wa Kihistoria tuliobeba ubingwa kwa mara 26 TUMEKUSAMEHE BILA KUKUKATA KODI YA AINA YOYOTE.

Ukishajua tofauti ya Uwanja na Ukuta unaozunguka Uwanja then rudi tena hapa na Ngonjera zako.
 
Pole mkuu,hakuna namna nyingine inabidi utupongeze tu hadharani huku ukililia chumbani
 
mikiaaaaaaa...! njooni muone tumekinukisha huku... ila wenye povu hatuwataki mana wasije wakatufia bure.
 
Nachukua nafasi kuipongeza klabu ya Yanga Kwa kutwaa ubingwa wa ligi Kuu 2016/2017.Pia nawapongeza wachezaji wao Kwa kujituma muda wote wa mashindano.Shukurani za pekee ziende Tff, marefa waliofanikisha ushindi huo.Wakati Yanga inatwaa ubingwa huu UWANJA WA KISASA WA KAUNDA UMEDONDOKA .Tunamwomba Rais wa Yanga Mh.Diwani wa Mbagala Yusuf Manji kabla hajachukua fomu tena akamilishe AHADI yake ya kuuwekea NYASI ZA BANDIA uwanja huo. Mwisho nawapongeza mashabiki wa Yanga Kwa uvumilivu wao wa kuvumilia ahadi za UONGO za Rais wa Yanga Mh.Diwani Yusuf Manji.YANGA OYEE


KUNA KAHARUFU KWA WIVU HAPA

ASIYEKUBALI KUSHINDWA SI MSHINDANI PIA TUNAWAPONGEZA MAREFA KWA KUIBEBA MWADUI IKAPELEKEA SIMBA SC KUFUNGWA BAO MOJA KWA BILA.

UKIWEZA KUBWEBA SHARTI UBEBEKE UTAMBEBA VIPI NA KUFANIKISHA USHINDI MTU ANAFUNGWA NA MWADUI?
 
Back
Top Bottom