Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Msimu wa tatu huu bado hujazoea machungu?Kulikuwa na haja gani kwa timu ya kigeni kuingilia mijadala ya Baraza la wawakilishi na kupotezea muda Wawakilishi?
Kama hilo jambo ni muhimu si waende kwao huko Dodoma, Karibu Wawakilishi wote walihudhuria mechi ya Yanga na Azam pale Aman Complex, na waliona kila kitu, Sasa kiherehere cha kupeleka kombe huko Barazani kimetoka wapi?
View attachment 3007436
Mstupotezee muda bhanaMsimu wa tatu huu bado hujazoea machungu?
Kapteni boko kakaa kama utingo yupo kwenye down ya Magubike.Inawauma sana
View attachment 3007441
Kombe la LoserONYO KALI: WATU WANAOSHIRIKI KOMBE LA SHIRIKISHO WASI-COMMENT
Today it might be lower levelInawauma sana
View attachment 3007441
Nini iko πππInawauma sana
View attachment 3007441
ParadeNini iko πππ
Gwaride ππParade
AaahaaaaONYO KALI: WATU WANAOSHIRIKI KOMBE LA SHIRIKISHO WASI-COMMENT