Yanga yawasiliana na Gor Mahia kuhusu Aussems

Yanga yawasiliana na Gor Mahia kuhusu Aussems

Kwa mujibu wa mtandao wa Goal.com klabu ya Yanga imewasiliana na timu ya AFC Leopards ya Kenya kuangalia uwezekano wa kumchukua kocha Patrick Aussems aliewahi kuifundisha Simba SC.

Hata hivyo klabu ya Kenya imegoma kuikubalia Yanga kumchukua kocha wao mwenye mkataba wa miezi sita, taarifa zinaeleza zaidi Yanga wameahidi kurejea tena AFC Leopards na ofa kubwa zaidi ili kumpata kocha huyo.
Huyu siyo kocha kabisa
 
Back
Top Bottom