Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Baada ya mechi 10 za kombe la Shirikisho Afrika kwa kila timu, Yanga SC wamewazidi USM Alger kwa takwimu karibu zote miongoni mwa timu hizo:
Eneo pekee ambalo Yanga wamezidiwa ni mabao ya kufunga ( utofauti wa mabao mawili ) huku Yanga wakitawala maeneo mengine yote yaliyobaki.
Takwimu hizi ni kwa mujibu wa CAF.
Mabao ya kufunga:
Yanga 15 - USMA 17
On Target:
Yanga 47 - USMA 40
Mabao waliyoruhusu:
Yanga 05 - USMA 08
Clean Sheets:
Yanga 06 - USMA 05
Pasi:
Yanga 3204 - USMA 2515
Usahihi wa pasi:
Yanga 77% - USMA 72%
Eneo pekee ambalo Yanga wamezidiwa ni mabao ya kufunga ( utofauti wa mabao mawili ) huku Yanga wakitawala maeneo mengine yote yaliyobaki.
Takwimu hizi ni kwa mujibu wa CAF.
Mabao ya kufunga:
Yanga 15 - USMA 17
On Target:
Yanga 47 - USMA 40
Mabao waliyoruhusu:
Yanga 05 - USMA 08
Clean Sheets:
Yanga 06 - USMA 05
Pasi:
Yanga 3204 - USMA 2515
Usahihi wa pasi:
Yanga 77% - USMA 72%