Yanga yaweka record Africa, wachezaji 14 waitwa national team

Yanga yaweka record Africa, wachezaji 14 waitwa national team

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
#Repost @officialfelixtz

Wachezaji [emoji2389][emoji2392] kutoka Young Africans [emoji1241] watapambania mataifa yao kufuzu AFCON 2025 Morocco [emoji1173]

Unambiwa haijawahi tokea Kwa club hapa Africa kufikia kutoa wachezaji zaidi ya 14 kwenda national team.......hii record iliwahi kuwekwa na mamelodi sundown tu ....na Leo imevunjwa na Yanga

1 Diara. Mali
2 Aucho..... Uganda
3 Chama zambia
4 mzize ..... TZ
5.abuya ......Kenya

6 bacca. TZ
7 Mudathiri....TZ
8 Dickson job
9. Kibabage
10 mwamnyeto
11. Musonda
12. Aziz ki
13. Dube
14 Msheri

NB: nadhani timu kubwa imeanza kujulikana[emoji23]
Screenshot_20240829-151648.jpg
 
#Repost @officialfelixtz

Wachezaji [emoji2389][emoji2392] kutoka Young Africans [emoji1241] watapambania mataifa yao kufuzu AFCON 2025 Morocco [emoji1173]

Unambiwa haijawahi tokea Kwa club hapa Africa kufikia kutoa wachezaji zaidi ya 14 kwenda national team.......hii record iliwahi kuwekwa na mamelodi sundown tu ....na Leo imevunjwa na Yanga

1 Diara. Mali
2 Aucho..... Uganda
3 Chama zambia
4 mzize ..... TZ
5.abuya ......Kenya

6 bacca. TZ
7 Mudathiri....TZ
8 Dickson job
9. Kibabage
10 mwamnyeto
11. Musonda
12. Aziz ki
13. Dube
14 Msheri

NB: nadhani timu kubwa imeanza kujulikana[emoji23]
View attachment 3082095
Itabidi tuandamane kupinga uzalilishaji huu!
 
Nimesikia Sheikh Mmoja akilalamika kuwa eti Yanga wanataka Mungu ashushe Malaika wacheze nao mechi ya mpira wamechoka kucheza na timu za Africa
 
#Repost @officialfelixtz

Wachezaji [emoji2389][emoji2392] kutoka Young Africans [emoji1241] watapambania mataifa yao kufuzu AFCON 2025 Morocco [emoji1173]

Unambiwa haijawahi tokea Kwa club hapa Africa kufikia kutoa wachezaji zaidi ya 14 kwenda national team.......hii record iliwahi kuwekwa na mamelodi sundown tu ....na Leo imevunjwa na Yanga

1 Diara. Mali
2 Aucho..... Uganda
3 Chama zambia
4 mzize ..... TZ
5.abuya ......Kenya

6 bacca. TZ
7 Mudathiri....TZ
8 Dickson job
9. Kibabage
10 mwamnyeto
11. Musonda
12. Aziz ki
13. Dube
14 Msheri

NB: nadhani timu kubwa imeanza kujulikana[emoji23]
View attachment 3082095
Baadae waseme Yanga ananunua mechi, wakati wana wachezaji wenye uwezo mdogo.
 
Back
Top Bottom