Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #21
Yaaah mkuu....Yanga ni chuo ya mpira AfricaMashindano madogo madogo lazima waitwe wachezaji wadogo wadogo hivyo hakuna cha ajabuView attachment 3082366
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaaah mkuu....Yanga ni chuo ya mpira AfricaMashindano madogo madogo lazima waitwe wachezaji wadogo wadogo hivyo hakuna cha ajabuView attachment 3082366
Chuo cha kwenda kula pensheniYaaah mkuu....Yanga ni chuo ya mpira Africa
Yanga hawana ubavu huo.Nahisi Yanga walikataa
Katika hayo majina matatu, labda ni Max Nzengeli ndiyo sijashuhudia akiitwa kwenye timu yake ya Taifa ya DRC. Ila Pacome msimu uliopita aliitwa. Na huyo Aziz uliyemtaja, sijui umemaanisha Aziz Andambwile! Maana kama ni Stephane Aziz Kii, huyu amekuwa akiitwa tangu alipojiunga na Yanga.Maxi Nzingeli, Pavome na Aziz ni raia wa Ulaya ama nini? Maana nasikia wanaimbwa kama wafalme huku Tz ila kwenye list siwaoni?