Itabidi tuandamane kupinga uzalilishaji huu!#Repost @officialfelixtz
Wachezaji [emoji2389][emoji2392] kutoka Young Africans [emoji1241] watapambania mataifa yao kufuzu AFCON 2025 Morocco [emoji1173]
Unambiwa haijawahi tokea Kwa club hapa Africa kufikia kutoa wachezaji zaidi ya 14 kwenda national team.......hii record iliwahi kuwekwa na mamelodi sundown tu ....na Leo imevunjwa na Yanga
1 Diara. Mali
2 Aucho..... Uganda
3 Chama zambia
4 mzize ..... TZ
5.abuya ......Kenya
6 bacca. TZ
7 Mudathiri....TZ
8 Dickson job
9. Kibabage
10 mwamnyeto
11. Musonda
12. Aziz ki
13. Dube
14 Msheri
NB: nadhani timu kubwa imeanza kujulikana[emoji23]
View attachment 3082095
Tukaandamane kupinga yanga kupendelewa timu za taifa; ni uzalilishaji kwa timu nyingineHizo nchi zao hazina wachezaji....yani Tanzania ndo sehemu yao ya kuokoteza...πππππ
Baadae waseme Yanga ananunua mechi, wakati wana wachezaji wenye uwezo mdogo.#Repost @officialfelixtz
Wachezaji [emoji2389][emoji2392] kutoka Young Africans [emoji1241] watapambania mataifa yao kufuzu AFCON 2025 Morocco [emoji1173]
Unambiwa haijawahi tokea Kwa club hapa Africa kufikia kutoa wachezaji zaidi ya 14 kwenda national team.......hii record iliwahi kuwekwa na mamelodi sundown tu ....na Leo imevunjwa na Yanga
1 Diara. Mali
2 Aucho..... Uganda
3 Chama zambia
4 mzize ..... TZ
5.abuya ......Kenya
6 bacca. TZ
7 Mudathiri....TZ
8 Dickson job
9. Kibabage
10 mwamnyeto
11. Musonda
12. Aziz ki
13. Dube
14 Msheri
NB: nadhani timu kubwa imeanza kujulikana[emoji23]
View attachment 3082095