Yanga yaweka rekodi Afrika, yafikisha mechi 22 bila kufungwa

Yanga yaweka rekodi Afrika, yafikisha mechi 22 bila kufungwa

MwananchiOG

JF-Expert Member
Joined
Apr 4, 2023
Posts
1,970
Reaction score
4,037
Capture.JPG


yanga.jpg
 
Wale wadogo zetu msimu wa nne huu! Wenyewe wako busy tu kujenga timu!! Mpaka siku wakija kushtuka wanapoteza muda, tayari Yanga atakuwa amechukua moja ya kikombe kikubwa Barani Afrika
 
Juzi niliongelea kuhusu takwimu na jinsi unavyoweza kuzitumia kwa jinsi unavyotaka wewe. Ona hapa, hizi takwimu walizotumia wameweka pembeni mechi za kirafiki kwa sababu zinaharibu data.
 
Juzi niliongelea kuhusu takwimu na jinsi unavyoweza kuzitumia kwa jinsi unavyotaka wewe. Ona hapa, hizi takwimu walizotumia wameweka pembeni mechi za kirafiki kwa sababu zinaharibu data.
Kwani ata wangeweka mechi za kirafiki bado yanga alipoteza dhidi ya Augsburg ya ujerumani pekee baada ya hapo ilikuwa ni kichapo kwa kwenda mbele!
 
Juzi niliongelea kuhusu takwimu na jinsi unavyoweza kuzitumia kwa jinsi unavyotaka wewe. Ona hapa, hizi takwimu walizotumia wameweka pembeni mechi za kirafiki kwa sababu zinaharibu data.
Bora hata Yanga mechi za kirafiki tuliziona live.

Makolo mechi zenu mlichezea vichakani huko mmejificha kama wezi matokeo tukawa tunayapata kwa Simba App.
 
Juzi niliongelea kuhusu takwimu na jinsi unavyoweza kuzitumia kwa jinsi unavyotaka wewe. Ona hapa, hizi takwimu walizotumia wameweka pembeni mechi za kirafiki kwa sababu zinaharibu data.
Daah kweli we ni mbumbumbu pro max, tangu lini mechi za kirafiki wakati wa pre season zikahesabika kwenye takwimu?

Kuwa Simba ilipofungwa goli 6 kule Misri ilipokuwa imeweka kambi nayo itumike kwenye takwimu rasmi za Simba msimu huu?

Hujui hizi mechi ni sawa na bonanza ambapo unaweza chezesha hata wafanya usafi wa timu?

Huoni kwenye hizi mechi timu inaweza kubadilisha wachezaji wote wakati wa half time kisha wakaingia wengine, kitu ambacho hata kwenye sheria za mpira wa miguu hakipo?
Itoshe kusema wewe ni mtu asiyejua mpira kuliko mbumbumbu wengi wa msimbazi
 
Kwani ata wangeweka mechi za kirafiki bado yanga alipoteza dhidi ya Augsburg ya ujerumani pekee baada ya hapo ilikuwa ni kichapo kwa kwenda mbele!
Ingehesabiwa hiyo, ina maana rekodi ingetakiwa kuanza baada ya kile kipigo kwa hiyo Yanga isingekuwa na hiyo rekodi ndefu
 
Daah kweli we ni mbumbumbu pro max, tangu lini mechi za kirafiki wakati wa pre season zikahesabika kwenye takwimu?

Kuwa Simba ilipofungwa goli 6 kule Misri ilipokuwa imeweka kambi nayo itumike kwenye takwimu rasmi za Simba msimu huu?

Hujui hizi mechi ni sawa na bonanza ambapo unaweza chezesha hata wafanya usafi wa timu?

Huoni kwenye hizi mechi timu inaweza kubadilisha wachezaji wote wakati wa half time kisha wakaingia wengine, kitu ambacho hata kwenye sheria za mpira wa miguu hakipo?
Itoshe kusema wewe ni mtu asiyejua mpira kuliko mbumbumbu wengi wa msimbazi
Povu lote hilo la nini?
 
Back
Top Bottom