wakimataifa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 942
- 168
uongozi kamati ya mashindano na katibu wa baraza la wazee wasipokuwa makini yanga kukosa ubingwa.
dalili zinaonekana wazi ni kama wamelidhika na ushindi mfurulizo.
kibaya zaidi inacheza na timu zinazoshuka daraja na za kati.zile za kati zinapigiwa debe na timu zakutaka kuwa bingwa au nafasi ya pili.
yetu macho tutaona mwisho wake
dalili zinaonekana wazi ni kama wamelidhika na ushindi mfurulizo.
kibaya zaidi inacheza na timu zinazoshuka daraja na za kati.zile za kati zinapigiwa debe na timu zakutaka kuwa bingwa au nafasi ya pili.
yetu macho tutaona mwisho wake