Yanga yetu ifanye hivi ili iwe bora

koboG

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2016
Posts
2,763
Reaction score
5,167
Pole kwa maumvi wanayanga wenzangu mimi nachona tumfuke Ally Kamwe, Manara arudi kundini afu Eng.Haris abadilishiwe majukum arudi akasimamie makampuni ya GSM hapa tutakua tumeula

Nb:
Hii mbini ya kudhamini team za ndani haitusaidii tuachane nayo inaficha udhaifu wetu tunazidi kuifanya simba kua imara

 
Ubaya ubwege😜😜
 
 
shabiki uchwara huyu sasa injinia hersi ana kosa mbona katimiza wajibu wake kikamilifu..amewasajilia wachezaji wazuri,kaleta makocha wa kimataifa,wachezaji na benchi la ufundi wanalipwa mishahara minono,timu inasafiri kwa ndege,kambi nzuri Avic town...yote hayo hersi anayashughulikia yeye hersi anahusika na mambo ya utawala tu huko ndani ya uwanja ni kocha na wachezaji wake kutimiza wajibu wao au ulitaka hersi akafunge magoli.!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…