Song il gok
JF-Expert Member
- Feb 23, 2015
- 878
- 938
Uongozi wa Yanga Yetu unasikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu kuvujisha na kusambaza picha za stadium concept “Uwanja” bila idhini yao. Yanga yetu bado ipo kwenye mchakato wakuidhinisha moja kati ya michoro miwili ya uwanja unaotarajia kujengwa hivi karibuni.
YANGA YETU
YANGA YETU