Yanga Yetu

Yanga Yetu

MUTTAZ

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2016
Posts
296
Reaction score
237
Press Conference
Mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf Manji atazungumza na waandishi wa vyombo vya habari vya michezo leo ijumaa 21/10/2016, saa saba na nusu mchana, makao makuu ya club ya Yanga jangwani.
Wote mnakaribishwa.

Imetolewa na Uongozi wa Yanga makao makuu.
21/10/2016
 
Anaenda kuzira kama kawaida yake ...
 
Kama alivyo ongea Akilimali ... Yanga ni kubwa kuliko Manji ..
Hako kazee ka akilimali nikanafiki hakuna mfano, tena ako bila yanga hakapo duniani, kazee kanakula sana hela za klabu inasemekana nikachawi balaa
 
Hako kazee ka akilimali nikanafiki hakuna mfano, tena ako bila yanga hakapo duniani, kazee kanakula sana hela za klabu inasemekana nikachawi balaa
Ila nimsema ukweli ... Deni la Yanga bil 11.6 .... Manji amewakopesha lini hizo hela?
 
Hako kazee ka akilimali nikanafiki hakuna mfano, tena ako bila yanga hakapo duniani, kazee kanakula sana hela za klabu inasemekana nikachawi balaa

Nikwambie kitu....Mzee AKILIMALI hayupo peke yake katika hili...wewe fanya research yako ya haraka haraka uone...watu hawataki kujitokeza lakini wanayanga in thousands hawataki huu upuuzi wa Yanga kukodishwa, na wengi wanaopinga ni wasomi...ila wale wanachama wa mwendo kasi walioingia YANGA kwa uanachama wa kulipia CRDB ndio wengi wanaotaka YANGA kukodishwa...Nao wako wengi pia in thousands...kwa hiyo YANGA imegawanyika....Baadhi tulitabiri kuwa kutakuwepo na mgogoro mkubwa pengine kuliko hata ule uliozaa PAN...
 
Press Conference
Mwenyekiti wa Yanga Bw Yusuf Manji atazungumza na waandishi wa vyombo vya habari vya michezo leo ijumaa 21/10/2016, saa saba na nusu mchana, makao makuu ya club ya Yanga jangwani.
Wote mnakaribishwa.

Imetolewa na Uongozi wa Yanga makao makuu.
21/10/2016
Anazira kama lipumba tena
 
Hako kazee ka akilimali nikanafiki hakuna mfano, tena ako bila yanga hakapo duniani, kazee kanakula sana hela za klabu inasemekana nikachawi balaa
Ha ha ha kamesema ukweli.. Hatuwezi ikabidhi timu kwa kampuni hewa
 
Back
Top Bottom