Yanga bado wana nafasi yakufuzu hatua inayofata,mfano mechi ijayo Mo Bejaia na Medeama wakimpiga refa timu zote mbili zikatolewa mashindanoni inabaki Yanga na Tp Mazembe ndio wanafuzu hatua inayofata
Hizi kejeli zitaisha siku tukimkamata Simba Koko Taifa. Unajua mume kurudi na ngeu nyumbani sio jambo la kichekesho, alikoenda kutafuta ndiko alikong'atwa na nyigu. Sasa si mmeshamaliza usajili wenu wa magazetini, ...tanua paja, mkwaju waja
Yanga bado wana nafasi yakufuzu hatua inayofata,mfano mechi ijayo Mo Bejaia na Medeama wakimpiga refa timu zote mbili zikatolewa mashindanoni inabaki Yanga na Tp Mazembe ndio wanafuzu hatua inayofata