ChoiceVariable JF-Expert Member Joined May 23, 2017 Posts 66,537 Reaction score 75,687 Mar 12, 2025 #21 chizcom said: We kazi yako hipi kushinda unasifia uwezo wa ccm kwenye serikali. Click to expand... Wakati huo nasifia nafanya kazi tena za shamba ,nimekulia hizo na naendelea nazo nyie ma broilers ndio maana mnauza matrakoo,hovyo kabisa.
chizcom said: We kazi yako hipi kushinda unasifia uwezo wa ccm kwenye serikali. Click to expand... Wakati huo nasifia nafanya kazi tena za shamba ,nimekulia hizo na naendelea nazo nyie ma broilers ndio maana mnauza matrakoo,hovyo kabisa.
Detective J JF-Expert Member Joined Oct 17, 2016 Posts 24,058 Reaction score 41,518 Mar 12, 2025 #22 Financial Analyst said: Serously amka utafute ustadi wa kufanya jambo lolote la kukuingizia pesa. Na wewe kama una hio nafasi ishikilie kwa shukrani na unyenyekevu View attachment 3267773 Click to expand... Hali ni mbaya kwa ground
Financial Analyst said: Serously amka utafute ustadi wa kufanya jambo lolote la kukuingizia pesa. Na wewe kama una hio nafasi ishikilie kwa shukrani na unyenyekevu View attachment 3267773 Click to expand... Hali ni mbaya kwa ground
M Manjovial JF-Expert Member Joined Aug 12, 2015 Posts 590 Reaction score 1,125 Mar 12, 2025 #23 UPOPO said: Inategemea ,kuna ndugu yangu yupo bank anafanya kazi kaniambia kaomba so sio wote hawana ajira ,wengine wameajiriwa private companies so anaona bora aende sehemu ambako ni permanent and pensionable Click to expand... Mkuu ajira za bank pia ni temp?
UPOPO said: Inategemea ,kuna ndugu yangu yupo bank anafanya kazi kaniambia kaomba so sio wote hawana ajira ,wengine wameajiriwa private companies so anaona bora aende sehemu ambako ni permanent and pensionable Click to expand... Mkuu ajira za bank pia ni temp?
Braza Kede JF-Expert Member Joined Nov 1, 2012 Posts 3,840 Reaction score 6,844 Mar 12, 2025 #24 mimi niwaswalike hizi shule na vyuo vyetu zinatoa wahitimu wangapi kwa mwaka na nafasi za ajira mpya zinazotengenezwa kwa mwaka ni ngapi?
mimi niwaswalike hizi shule na vyuo vyetu zinatoa wahitimu wangapi kwa mwaka na nafasi za ajira mpya zinazotengenezwa kwa mwaka ni ngapi?
Numbisa JF-Expert Member Joined Dec 12, 2016 Posts 301,221 Reaction score 1,172,274 Mar 12, 2025 #25 Hapo wapo wengi wana ajira zao tena serikalini ila tamaa inawaongoza kuwazibia nafasi jobless