Yani hawa Ray na Kanumba ni vilaza kweli


Jamani imetosha naamini amekoma na hatarudia tena
 
wewe kama ni mwanamke basi ulishawahi kusutwa na kama ni mwanaume nahisi wewe ni shoga
mbona BABA LIZ msafara wake ni benz na bmw lakini hamuongei wabongo majungu tu
kama kanunua wewe inakuhusu nini mimi nahisi wewe ndio KILAZA kwa kufuatilia maisha ya watu PUMBAAAAAAAAAAAVU
 
kununua gari ya mil 200 au hata 700,co ulaza kama inavyosemekana bali ni nafac na uwezo walionao ray na ze great ndo vinafanya wawe na vitu kama hivyo!
 
Hata mimi nawapa tano; kutumia gari nzuri kunaongeza status yao na wao status ni muhimu kwa kazi yao (maceleb).

Hata hivyo matumizi ya mtu huwezi sema ni ya kijinga kwani preference zinatofautiana toka kwa mtu na mtu. Kuna watu magari ndo ugonjwa wao; let them be.

I am real happy for them; wakaze buti na sisi Tz labda tutakuwa na movie za viwango soon.

Ni kweli vijana wako creative; though movie industry bongo hatuichukulii seriously wenzetu kama Ghana Graduates wanacheza movie na wana make it in life.

Heshima kwenu na nawatakia mafanikio zaidi.
 
Milioni 200??

Ok, kama ni kweli nadhani ni jambo jema kwa soko la filamu za nyumbani.
 
naona umeamua kumjaza hasira na wivu zaidi kwa njia ya picha,atapasuka,lol!!
 
Mbona kina musofe wana hummer? Kununua gari la mil 200 sio ukilaza inategemea yeye amenunua kwa ajili ipi.....Tafuta hela mtoa uzi.
 
nyambafu kabisa we mleta huu uzi. Unataka kila mtu amiliki starlet au vitz? Halafu hummer,cardellac, landcruser v8,nissan navara amiliki nani, mwisho utasema waliozitengeneza ni vilaza.kwa taarifa yako wewe ndio kilaza kwani hujui prefference na stutus za watu zinatofautiana kutokana na uwezo wao kiuchumi. Peleka umbea kuleeeee! Na ukiendelea na umbea wako iko siku watakucameroun
 
naona umeamua kumjaza hasira na wivu zaidi kwa njia ya picha,atapasuka,lol!!

Mbona magari ya kawaida tu? wabongo wengi wanayo na si lazima uwe na hela nyiingi sana.
Landcruiser hudumu muda mrefu. ni ngumu na zistahimili njia zote.
ni bora kuliko hizi gari za baa - saloons - ambazo huchoka haraka na ziko limited mijini tu!
 

Nafikiri unatakiwa uwapongeze kwa kujitutumua kimaisha. Wanafanya kazi zao kwa bidii sana na zinawapatia kipato kikubwa kinachowaruhusu kuajiri vijana wengine wengi. Kwa vile jasho lao limewalipa na wamenunua magari hayo kwa ridhaa zao, waache wafaidi jasho lao kulingana na matakwa ya mioyo yao; hawakuiba wala kudhulumu mali ya mtu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…