Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nachukizwa Sana na hili jambo sidhani Kama wewe lishawahi kukükuta kila nikiwa kwenye foleni ikifika zamu yangu Mtoa huduma ndio ana nyanyuka na kuondoka
Nimefanya risechi iwe ni
Hospital
Bank
Kanisani mikate inaisha
kila penye foleni nikifikiwa Mimi ndio Jamaa anasepa
Pengine bila hata sababu ya msingi
Wewe je?
Naumia Sana
Nimefanya risechi iwe ni
Hospital
Bank
Kanisani mikate inaisha
kila penye foleni nikifikiwa Mimi ndio Jamaa anasepa
Pengine bila hata sababu ya msingi
Wewe je?
Naumia Sana