Shujaa Nduna
JF-Expert Member
- Sep 8, 2022
- 599
- 487
Muda wa kazi mtu anaenda kwa mademu na gari ya serikali anapaki anapiga stori kwenye ofc ya dem.Huyu bro anahujumu serikali wakemewe watu wa kariba yake.Picha sibora sana ila ujumbe huo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WACHA ALE MAISHA KWA UREFU WA KAMBA YAKEMuda wa kazi mtu anaenda kwa mademu na gari ya serikali anapaki anapiga stori kwenye ofc ya dem.Huyu bro anahujumu serikali wakemewe watu wa kariba yake.Picha sibora sana ila ujumbe huo.
mama alishasema kumbe wale urefu wa kamba et?WACHA ALE MAISHA KWA UREFU WA KAMBA YAKE
mingedere mikubwa unakwiba na vingedere vidogo navyo ndiyo hivyo.Duh......!
Haya mambo tena
Wivu tuMuda wa kazi mtu anaenda kwa mademu na gari ya serikali anapaki anapiga stori kwenye ofc ya dem.Huyu bro anahujumu serikali wakemewe watu wa kariba yake.Picha sibora sana ila ujumbe huo.
Ni ESITIELO NGAPINGAPI?Penzi kitovu cha uzembe na uzururaji.😂😂😂😂Muda wa kazi mtu anaenda kwa mademu na gari ya serikali anapaki anapiga stori kwenye ofc ya dem.Huyu bro anahujumu serikali wakemewe watu wa kariba yake.Picha sibora sana ila ujumbe huo.
Sipigiki picha...Siku nikikuona na wewe nitakupiga picha
Ndio usubiri nitakapokuonyesha hyo picha yakoSipigiki picha...
Picha zangu hua zinatokaga nyeusi tii...Ndio usubiri nitakapokuonyesha hyo picha yako
Kisa?Picha zangu hua zinatokaga nyeusi tii...
Sababu mimi siyo mtu wa kawaida...Kisa?
Nataka nijionee mwenyewe hiloSababu mimi siyo mtu wa kawaida...
Mwenye kilanga haliliwi wewe binti...Nataka nijionee mwenyewe hilo
Maana yake niniMwenye kilanga haliliwi wewe binti...