Fungua pm nikuambia maana yake...Maana yake nini
Pm sifungui hadi mwezi ujaoFungua pm nikuambia maana yake...
".........Mtanukumbuka" JPMMuda wa kazi mtu anaenda kwa mademu na gari ya serikali anapaki anapiga stori kwenye ofc ya dem.Huyu bro anahujumu serikali wakemewe watu wa kariba yake.Picha sibora sana ila ujumbe huo.
View attachment 2403783
Binti mgumu wewe haki tena...Pm sifungui hadi mwezi ujao
๐ ๐Binti mgumu wewe haki tena...
Kaone kwanza... Kunjua roho... sasa picha utanipigaje bila kufungua pm...๐ ๐
Nitajua mwenyewe nakupigaje, hilo niachie mimiKaone kwanza... Kunjua roho... sasa picha utanipigaje bila kufungua pm...
Mambo yangu siwezi kukuachia wewe...Nitajua mwenyewe nakupigaje, hilo niachie mimi
Huu nao ni umbea wa kiwango cha juu saaana!Muda wa kazi mtu anaenda kwa mademu na gari ya serikali anapaki anapiga stori kwenye ofc ya dem.Huyu bro anahujumu serikali wakemewe watu wa kariba yake.Picha sibora sana ila ujumbe huo.
View attachment 2403783