Anza Tiba inabidi uwe unaninyonya kutwa Mara tatu kwa muda wa mwezi mmoja then uje unipe feedback👅
tiba yake ipo nenda hosp anapimwa unapewa dawa anapona hilo ni tatizo dogo.kama vipi ni pm nikuambie dawa
Kuna demu mmoja nilishawahi kukutana nae alikuwa na harufu mbaya sana kwenye K yake. Mara ya kwanza nilijua ndivyo alivyo...nilivyoongea naye akasema hata yeye anashangaa maana zamani hakuwaga hivyo...so tukaenda hospital kachekiwa akapewa dawa. Ile harufu iliisha kabisaa tuka endelea ku ji enjoy. Huwa ni magonjwa tu hasa fungus
mmmh fangas nenda katibu mapema isije ikaingia ndani
SASA WANAWAKE HUPANIKI SANA WAKIAMBIWA UKWELI SASA FANYA HIVI
1.tengeneza mazingira mazuri very romantic kama ni kwake kwako au any dating place
2.mwambie baby niambie una tatizo gani ambalo unahis linakunyima raha na unataka nikusaidie au tusaidiane kulitoa
3.kama atakujibu mwambie twende hosptal kama hatakujibu ACHA KWA SIKU HIYO
kesho yake au baadae huko mtumie msg mwambie baby unajua jana kwa nini nili uliza vile niliuliza maana wanawake wana matatizo mengi na hawajui ambayo baadae hupelekea kukosa watoto sasa mimi nataka twebde ujafanye chekup ya mwili wako ikiwemo sehemu za uzazi (HAPO TAYARI USHAONGEA NA DR KWA HIYO AKIFIKA KWA DR YEE DR ATAJUA AMPIME NINI)
ila kama hapo juu atakujibu basi mkono kwa mkono hospital
KUMPATA MWANAMKE ANAEKUPENDA NI NGUMU SANA NOWDAYS USIKUBALI KUMPOTEZA KWA TATIZO DOGO HIVYO.
Muambie mpz nataka tusaidiane hili tatizo letu na tusiwe na aibu twende kwa dactor NAKUPENDA SANA NA SITAKI TUACHANE KISA TATIZO AMBALO LINASOLVIKA mwaaaa na ka kiss kakumjambisha.
mkuu.. umeongea vizuri sana. Mie nadhan afuate ushauri huu na tufunge thread tuendelee na mengine.mmmh fangas nenda katibu mapema isije ikaingia ndani
SASA WANAWAKE HUPANIKI SANA WAKIAMBIWA UKWELI SASA FANYA HIVI
1.tengeneza mazingira mazuri very romantic kama ni kwake kwako au any dating place
2.mwambie baby niambie una tatizo gani ambalo unahis linakunyima raha na unataka nikusaidie au tusaidiane kulitoa
3.kama atakujibu mwambie twende hosptal kama hatakujibu ACHA KWA SIKU HIYO
kesho yake au baadae huko mtumie msg mwambie baby unajua jana kwa nini nili uliza vile niliuliza maana wanawake wana matatizo mengi na hawajui ambayo baadae hupelekea kukosa watoto sasa mimi nataka twebde ujafanye chekup ya mwili wako ikiwemo sehemu za uzazi (HAPO TAYARI USHAONGEA NA DR KWA HIYO AKIFIKA KWA DR YEE DR ATAJUA AMPIME NINI)
ila kama hapo juu atakujibu basi mkono kwa mkono hospital
KUMPATA MWANAMKE ANAEKUPENDA NI NGUMU SANA NOWDAYS USIKUBALI KUMPOTEZA KWA TATIZO DOGO HIVYO.
Mkuu kwanza nahisi labda hujampenda kutoka moyoni kwani kwa jinsi nijuavyo mimi mapenzi ni zaidi ya kugegeda.mpaka unaamua kuja kuomba ushauri humu nadhani ungetuambia niliisha kaa nae tukaliongea na tukachukua hatua flani may be tumejaribu kupita mahospitalini lakin imeshindikana.Kwani najua chako ni chako tu lazima ukihangaikie ili uandae mazingira mazuri ya kukifaidi.Ushauri wangu,kaanae mweleze ukweli na umuombe akubali msaidiane kutafuta tiba kwani kwa kesi hiyo nilazima kuna tatizo sio kawaida.