Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Porojo za leo uliziskia?Ushasema siasa, siasa za Tanzania siku zote ni wajinga ndiyo waliwao. Mama Samia pekee ndiyo tunajionea kwa vitendo kabisa sasa ana Reform na Rebuld siasa zake ni za kuwezeshana kimaisha siyo za porojo tu..