Yani unakimbia usiku kufukuzana na Castle Lite na Savanna huku umeacha mtoto wako mdogo eti mtu akuangalizie

Yani unakimbia usiku kufukuzana na Castle Lite na Savanna huku umeacha mtoto wako mdogo eti mtu akuangalizie

Financial Analyst

JF-Expert Member
Joined
Nov 27, 2017
Posts
1,849
Reaction score
3,506
Endeleeni kuzaa na maslay queens.

Dogo ndio kashafariki hivyo kwa uzembe wa starehe na akili za ku-slay slay

Screenshot_20241230-155943.png
 
Elezeni vizuri basi, huko Daslamu mko wengi ni nguvu kujua kila mtu
Uko wapi huo Uzi?
👇
 
Hiyo ni ishu ya Dodoma broo, siyo Daslam.
Kuna uzi humu una maelezo ya tukio lote
Nimeona inasikitisha sana. Nitajitahidi nisizae na singo maza.
Maana hata huku nilipeleka mtoto wangu na watoto wa majirani kucheza Xmas. Kuna watoto wawili wa masingo maza nilisikitika sana walivyo vaa. Wamevaa vikaptura mapaja yote wazi.
 
Inasikitisha Sana....... Hapa madongo yote yanaelekea kwa single mother lakini so kweli,,
Asilimia kubwa ya wazazi Tanzania wako tayari kuzaa na so kulea!!!! Malezi ya watoto yanataka fedha, muda, hisia, kujali , kuthamini sasa tulio wengi tunaachia dada wa kazi , ndugu, majirani, jamaa na marafiki watutimizie majukumu yetu. Nashauri Kama hauko tayari kubeba jukumu la mzazi hakikisha mbegu zako unakaa nazo kiunoni mpka utakapokua tayari..... Uwe wa kiume au wa kike kaa tulia ukiwa tayari kuwa mzazi ndio uanze kuzaa. Sioni mantiki ya kuzalisha mtoto wa watu umuachie majukumu uanze kumuita single maza huku wewe single father ukitega ukila starehe na wanawake wengine.
 
Inasikitisha Sana....... Hapa madongo yote yanaelekea kwa single mother lakini so kweli,,
Asilimia kubwa ya wazazi Tanzania wako tayari kuzaa na so kulea!!!! Malezi ya watoto yanataka fedha, muda, hisia, kujali , kuthamini sasa tulio wengi tunaachia dada wa kazi , ndugu, majirani, jamaa na marafiki watutimizie majukumu yetu. Nashauri Kama hauko tayari kubeba jukumu la mzazi hakikisha mbegu zako unakaa nazo kiunoni mpka utakapokua tayari..... Uwe wa kiume au wa kike kaa tulia ukiwa tayari kuwa mzazi ndio uanze kuzaa. Sioni mantiki ya kuzalisha mtoto wa watu umuachie majukumu uanze kumuita single maza huku wewe single father ukitega ukila starehe na wanawake wengine.
Wanaume wote ni umbwa,I am single and happy- Wanawake punguzeni hizi kauli zinawacost hakuna single maza Yuko HAPPY!!
 
Endeleeni kuzaa na maslay queens.

Dogo ndio kashafariki hivyo kwa uzembe wa starehe na akili za ku-slay slay

View attachment 3188611
Sema tu huyu binti mjinga. Na hata kama watuhumiwa wametiwa mbaroni, bado na yeye hawezi kukwepa lawama. Maana kutokana na ubinafsi wake, amesababisha mtoto kufariki.

Na hili liwe funzo kwa sisi wazazi ya kwamba malezi ya mtoto/watoto yanahitaji uangalizi wetu! Na siyo wa watu baki.
 
Back
Top Bottom