pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,350
Eti ikus. 😄 Wewe ni bazenga kweli budaboss.Ilikuwa changamoto sana. Yaani angalau yale maneno ya kingereza nilikuwa naambulia lakini siyo hizo broken nyingine. Siku hizi napatapata nikienda huko. Mambo ya Kanairo, lanye, ikusi nk hahahaa