Yanick Bangala atwaa tuzo ya mchezaji Bora wa NBC Premier League 2021/2022

Protect

Senior Member
Joined
Apr 4, 2020
Posts
103
Reaction score
362
Yanick Bangala kiungo fundi wa Yanga usiku huu ametangazwa kuwa mchezaji bora wa ligi kuu ya Tanzania Bara 2021/2022

Kwa kutwaa tuzo hiyo Bangala amewashinda mshambuliaji wa Yanga Fiston Mayele na beki wa Simba Henock Inonga, waliokuwa pia wanagombea tuzo hiyo

Bangala pia alikomba tuzo ya kiungo bora wa ligi

Mayele ameshinda tuzo ya goli bora la ligi, wakati Inonga ameshinda tuzo ya beki bora wa ligi

Kocha wa Yanga Prof Nabi ameshinda tuzo ya Kocha bora
 
Yule tuliyeambiwa kuwa ni daktari wa mpira licha ya kukosa katika wale wanaowania Tuzo, hata kwenye kikosi cha msimu hayupo...!

Khalid Aucho Dr of Football..Nyiee [emoji16]
 
Yule tuliyeambiwa kuwa ni daktari wa mpira licha ya kukosa katika wale wanaowania Tuzo, hata kwenye kikosi cha msimu hayupo...!

Khalid Aucho Dr of Football..Nyiee [emoji16]
Hahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…