Yapi matatizo (yaki afya ) ayapatayo mama mjamzito ikiwa mumewe anatoka nje ya ndoa?

Yapi matatizo (yaki afya ) ayapatayo mama mjamzito ikiwa mumewe anatoka nje ya ndoa?

Kitoabu

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2011
Posts
10,677
Reaction score
11,768
Mimi ni kijana nilie ndani ya ndoa takriban mwaka mmoja sasa. Mungu amejaalia Mkewangu ana Ujauzito (mimba) wa miezi miwili, lakini mwenyewe nimeshindwa kuushinda moyo wangu hivyo kila mara (mwisho Jana) nimejikuta natoka nje ya ndoa yangu. Sasa nahitaji ushauri wa ki Afya, je sintamsababishia matatizo ya kiafya mwenzangu? Naomba kuwasilisha.
 
Madhara anayoweza pata mkeo ni mengi
lakini baadhi ni haya hapa Mkuu:-

Kama unapiga game kavukavu
haya yanakuhusu sana
Gono
Hiv
Pangusa
sasa na mkeo utampatu.
 
Madhara anayoweza pata mkeo ni mengi
lakini baadhi ni haya hapa Mkuu:-

Kama unapiga game kavukavu
haya yanakuhusu sana
Gono
Hiv
Pangusa
sasa na mkeo utampatu.
Kondom hua natumia, labda hayo mengi nayao ungeyataja. Lakini nashukuru.
 
Mimi ni kijana nilie ndani ya ndoa takriban mwaka mmoja sasa. Mungu amejaalia Mkewangu ana Ujauzito (mimba) wa miezi miwili, lakini mwenyewe nimeshindwa kuushinda moyo wangu hivyo kila mara (mwisho Jana) nimejikuta natoka nje ya ndoa yangu. Sasa nahitaji ushauri wa ki Afya, je sintamsababishia matatizo ya kiafya mwenzangu? Naomba kuwasilisha.
  • Je sababu ya kutoka nje ya ndoa nini?
  • Ni sababu ya ujauzito au kuna sababu nyengine.
  • ​Si vyema kuendelea kutoka nje ya ndoa.
 
kwani mkeo ana matatizo gani hadi utoke nje? ujauzito kama hauna matatizo unafanya kama kawaida.
 
Miez miwili tuushaanza kutoka??
Jifunze kuwa mvumilivu kaka...
Na kwAni ni nini kinakuzuia kwa mkeo coz ukiniuliza mie navyojua ujauzito hauzuii wewe kuendelea kushiriki tendo la ndoa na mkeo labda kama ni kwa ushauri wa daktari...
 
Matatizo yapo. Ili tukushauri inabidi uje na mkeo kwa sababu ushauri unawahusu wote.

Njooni tutawapa ushauri wa madhara yake na jinsi ya kujikinga nayo.
 
Kwanza sijui ni sababu zipi zilizokufanya utoke nje ya ndoa.pili mkeo akigundua hilo utamsababishia msongo wa mawazo kitu ambacho sio kizur kwa afya ya mama..
 
  • Je sababu ya kutoka nje ya ndoa nini?
  • Ni sababu ya ujauzito au kuna sababu nyengine.
  • ​Si vyema kuendelea kutoka nje ya ndoa.
Sina Sababu za msingi zaidi ya Umalaya tu. Nimeanza kumsaliti mwenzagu kabla ya ujauzito.
 
Kwanza sijui ni sababu zipi zilizokufanya utoke nje ya ndoa.pili mkeo akigundua hilo utamsababishia msongo wa mawazo kitu ambacho sio kizur kwa afya ya mama..
Shukran
 
Sina Sababu za msingi zaidi ya Umalaya tu. Nimeanza kumsaliti mwenzagu kabla ya ujauzito.

Nimependa jinsi ulivyo muwazi,badilika mkuu acha hayo mambo,wife ana mimba ya miezi 2 mbona unapiga tu mdogomdogo,sema tu usikamue kwa sana yaaaaani usisimamie kucha.
 
Mimi ni kijana nilie ndani ya ndoa takriban mwaka mmoja sasa. Mungu amejaalia Mkewangu ana Ujauzito (mimba) wa miezi miwili, lakini mwenyewe nimeshindwa kuushinda moyo wangu hivyo kila mara (mwisho Jana) nimejikuta natoka nje ya ndoa yangu. Sasa nahitaji ushauri wa ki Afya, je sintamsababishia matatizo ya kiafya mwenzangu? Naomba kuwasilisha.

kama unapga nje usimguse tena mpaka mtoto azaliwe,utamtia unajisi kiumbe aliye tumboni asiye na hatia
 
Sina Sababu za msingi zaidi ya Umalaya tu. Nimeanza kumsaliti mwenzagu kabla ya ujauzito.
Acha uzembe wewe...
Kama kuna kitu unakikosa kwa mkeo kaa chini zungumza naye mpate suluhu...siyo kuchapa hovyo hovyo na hiyo fimbo nyama yako..
Magonjwa yapo kaka na mkeo akigundua ndoa yako haitakuwa kama zamani tena.
BE THE BEST VERSION OF U
 
By Philipo; Oyooo,kaka Wacha Habari Za Usaliti Ni Mbaya Hasa Kwa Mkewe Kuwa Na Ujauzito Kumbuka Unatesa Kiumbe Kisicho Na Hati Mara Unapotoka Nje Na Kukutana Tena Na Mkeo Pia Usisahau Ngwengwe,unapeleka Majanga Kwenye Familia.Acha Madhara Ni Makubwa Kaka Hata Kama Mkeo Hajui.Byeeeee....
 
Back
Top Bottom