Yapi ni maji bora kwa ajili ya kunywa?

Yapi ni maji bora kwa ajili ya kunywa?

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
9,091
Reaction score
21,087
1. Maji ya mvua
Kuna watalaam wanasema sio salama kwakuwa yana chemicalza huko angani
Kuna wengine wanasema ndo salama kwakuwa ni asilia, yamejichuja na yapo salama

2. Maji ya dukani
Haya ambayo yapo kwenye machupa
Mfano hill water, jambo, afya n.k
Kuna watalaam wanasema sio salama kwa kuwa yameongezea chemicals za kuyasafisha yawe meupe yani ule weupe sio asilia na yana madhara

3 maji ya bomba
Wengine wanasema ni maji mazuri tuyaamini kwakuwa yana madini yanatoka kwenye mwamba japo yana rangi mbaya ambayo binafsi siyaamini.
Na process yote hadi yafike kwa mteja yanakuwa yamewekewa madawa

Wataalam naomba mnisaidie niwe nakunywa maji gani yenye virutubisho vya mwili
 
Nyumbani kwetu maji ni ya bomba kisha wanayachemsha. Nikawa mbali almost 2yrs+, siku nimeenda yakanishinda kabisa kunywa.. nikatafuta ya chupa niliyozoea

Kaskazini maji mazuri ni Kilimanjaro, Dew drop, Jibu & Shafii water.
 
1. Maji ya mvua
Kuna watalaam wanasema sio salama kwakuwa yana chemicalza huko angani
Kuna wengine wanasema ndo salama kwakuwa ni asilia, yamejichuja na yapo salama

2. Maji ya dukani
Haya ambayo yapo kwenye machupa
Mfano hill water, jambo, afya n.k
Kuna watalaam wanasema sio salama kwa kuwa yameongezea chemicals za kuyasafisha yawe meupe yani ule weupe sio asilia na yana madhara

3 maji ya bomba
Wengine wanasema ni maji mazuri tuyaamini kwakuwa yana madini yanatoka kwenye mwamba japo yana rangi mbaya ambayo binafsi siyaamini.
Na process yote hadi yafike kwa mteja yanakuwa yamewekewa madawa

Wataalam naomba mnisaidie niwe nakunywa maji gani yenye virutubisho vya mwili
Maji ya uzima ndio the best
 
1. Maji ya mvua
Kuna watalaam wanasema sio salama kwakuwa yana chemicalza huko angani
Kuna wengine wanasema ndo salama kwakuwa ni asilia, yamejichuja na yapo salama

2. Maji ya dukani
Haya ambayo yapo kwenye machupa
Mfano hill water, jambo, afya n.k
Kuna watalaam wanasema sio salama kwa kuwa yameongezea chemicals za kuyasafisha yawe meupe yani ule weupe sio asilia na yana madhara

3 maji ya bomba
Wengine wanasema ni maji mazuri tuyaamini kwakuwa yana madini yanatoka kwenye mwamba japo yana rangi mbaya ambayo binafsi siyaamini.
Na process yote hadi yafike kwa mteja yanakuwa yamewekewa madawa

Wataalam naomba mnisaidie niwe nakunywa maji gani yenye virutubisho vya mwili
Kunywa maji ya Mwamposa
 
Back
Top Bottom