MwananchiOG
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 1,970
- 4,037
Je, Matukio gani makubwa utayakumbuka katika ulimwengu wa kimichezo kwa mwaka 2024?
Kwa upande wangu, ni mengi yametokea, Ila haya nadhani yamechukua nafasi kubwa
1.Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi kuu mara ya 30 na mara ya tatu mfululizo
2.Yanga kufuzu robo fainali CAFCL
3.Goli la Aziz ki lililokataliwa Vs Mamelodi sundowns SA
4.Tanzania kufuzu AFCON kibishi sana baada ya kukatiwa tamaa na hatimaye kumfunga Guinea. Hii imenifanya kumuona kocha Moloko si mtu wa kawaida, kwani pamoja na kufungwa michezo ya nyumbani ikiwemo Congo DRC na kupoteza matumaini, ila huyu mtu aliapa na kusema kufuzu ni lazima, na kweli ikawa hivyo bhana!
5. Yanga kumfunga Kaizer chiefs kiulaini kabisa na kutwaa kombe la Toyota SA
Kwa upande wangu, ni mengi yametokea, Ila haya nadhani yamechukua nafasi kubwa
1.Yanga kutwaa ubingwa wa Ligi kuu mara ya 30 na mara ya tatu mfululizo
2.Yanga kufuzu robo fainali CAFCL
3.Goli la Aziz ki lililokataliwa Vs Mamelodi sundowns SA
4.Tanzania kufuzu AFCON kibishi sana baada ya kukatiwa tamaa na hatimaye kumfunga Guinea. Hii imenifanya kumuona kocha Moloko si mtu wa kawaida, kwani pamoja na kufungwa michezo ya nyumbani ikiwemo Congo DRC na kupoteza matumaini, ila huyu mtu aliapa na kusema kufuzu ni lazima, na kweli ikawa hivyo bhana!
5. Yanga kumfunga Kaizer chiefs kiulaini kabisa na kutwaa kombe la Toyota SA