Yarabi tunakuomba uijalie Simba ushindi jioni ya leo, inshaallah

Yarabi tunakuomba uijalie Simba ushindi jioni ya leo, inshaallah

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Ewe Mwenyezi Mungu muumba ardhi na dunia, umeumba wanadamu na vitu vyote vilivyopo, tunakuomba uijalie Simba ushindi leo katika dimba la Benjamin Mkapa ili tuweze kufuzu hatua ya makundi.

Ewe mwenyezi hakuna mtu apasae kuabudiwa kwa haki isipokuwa ni wewe.

Sisi waja wako umetuumba kuja duniani kufurahi na sio kuhuzunika, tunaomba utujalie furaha leo dhidi ya wapinzani wetu Al Ahly Tripoli

Ameen
 
Dua haina InshaAllah, ukiweka InshaAllah kwenye dua ushaharibu utaratibu wa dua
 
Mungu aache kuitikia dua za wagonjwa waliopo muhimbili wapate kupona.

Aje aitikie dua za makolo washirikina wakubwa waliochoma uwanja sourth Africa.

Huyo labda mungu wa mchongo!

Makolo pambaneni na hali zenu.

#Nasimama na Mabululu.
 
Subiria kichapo kitakatifu ushapiga ramli pumbafu
 
Back
Top Bottom