Yashangaza kwakweli, Hata Mariah Carey kaachwa na mpenzi wake billionaire kwasasabu ya ku overspend

Yashangaza kwakweli, Hata Mariah Carey kaachwa na mpenzi wake billionaire kwasasabu ya ku overspend

mxyo16

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2011
Posts
1,243
Reaction score
758
Asa kama mabilionea pia wanashindwa ku handle mizinga.....kunakuchekana kweli hapa, dharau, kubezana...tunayo yashuhudia humu kwenye jamii yetu. Eti kuambiwa kama huna hela kaa pembeni.
Hata mizinga iwe ina limits bana!!

'It's all over': James Packer 'DUMPS' fiancée Mariah Carey over 'excessive spending' as insiders claim she is keeping the $10m engagement ring

Read more: James Packer 'DUMPS' fiancée Mariah Carey over 'excessive spending' | Daily Mail Online

39C0518D00000578-0-image-a-1_1477526196361.jpg


Wendy Williams sijui atasemaje hapa....alishatolea mfano kwamba wadada madiva waige mfano wa Mariah, akielekeza dongo kwa Ciara aliyeolewa na mchezaji wa american football...kabla ya ndoa
 
Ni bilionea kweli? Asije kuwa "bilionea wa Arusha"
Mabilionea wengi wamefikia hiyo hatua kwa kuwa na nidhamu katika matumizi ya pesa. Na wengine wanaona afadhali watumie pesa zao kusaidia watu wengine kuliko kuzitapanya hovyo hovyo. Akina Warren Buffet wana nidhamu kweli na pesa zao. Imagine fiancée anakwenda na kununua yatch ya $100 mil hata bila kupanga kisa eti uko bilionea?
 
Wewe mdada kwangu utaambulia mahaba tu kama PESA kaolewe na M-PESA, TIGO PESA, CRDB na BOT.
 
Huu ugonjwa wa matumizi mabaya ya pesa wanao sana wanawake wengi wa sikuizi. Ndio maana kwa mwanaume mwenye akili akisha ona hiyo tabia mapema.. anaacha manyoya. Alaf wanabaki kulalamika. Wadada embu jirekebisheni..
 
Huu ugonjwa wa matumizi mabaya ya pesa wanao sana wanawake wengi wa sikuizi. Ndio maana kwa mwanaume mwenye akili akisha ona hiyo tabia mapema.. anaacha manyoya. Alaf wanabaki kulalamika. Wadada embu jirekebisheni..
Tupa kule ukishaona mitabia ya ajabu
 
Back
Top Bottom