Yashangaza kwakweli, Hata Mariah Carey kaachwa na mpenzi wake billionaire kwasasabu ya ku overspend

Huyu Mariah Carey atakuwa ana matatizo,si alishawahi kuolewa na jamaa mmoja alikuwa CEO wa kampuni ya SONY akiitwa Tommy Mottola wakatemana?
 
Ndio maana nimeshamwambia Mama Gaude wangu asipobana matumizi na mimi yatanishinda kwa kweli. Si unaona Mabilionea tu wanaomba POO!
 
Lakini hata ukiangalia sababu ya kuwa naye ni hizo pesa zake,ila kama ni mapenzi hakuna hapo.Sasa jamaa keshajua huyu demu anataka kunirudisha nyuma.
 
Nimesikia ile ya Bill Gates kwamba ameshakubaliana na watoto wake kuwa akifa mali zote zitaenda kwenye misaada na si urithi kwa watoto, hata Jackie Chan nae hata rithisha watoto wake, mali zitaelekezwa kwenye charities....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…