Yasikie kwa jirani tu

Yasikie kwa jirani tu

Fikra na mtazamo jumlisha Natamani ya mtoto .


Utoto Raha Sana
 
Allah ndio alianza huu upuuzi. Walimshangilia walipoua watu 1400 na kubaka watu.
Bwana mkubwa sikushangai sana kwa majibu yako ila ni yule adui yaani ibilisi (baba wa uongo ) ameposha fikra zako na moyo wako ili usipate kujua kweli ya Mungu... ila kwa 100% + Mungu hausiki kwa lolote au chochote haya yote nikutokana na ukosefu wa Upendo kwa Mungu,kwa jirani zetu pamoja na tamaa za miyoyo yetu hivyo Mungu akatuacha tuenende katika tamaa zetu maana kumtii yeye kutoka kwetu hakupo tena
 
Dah hii picha imenifikirisha sana unajuwa haya mambo some time huwa tunayachukulia poa kwa sababu hayajatokea kwenye nchi zetu.

Ata hivyo wanaonekana bado wana matumaini licha ya kupitia magumu.View attachment 2792828
Propapaganda wamepakwa make up hao hii yote ni kutafuta huruma ya walimwengu, Kuna clip nimeona wanawapaka make up nyekundu ili ionekane wanavuja damu.
 
Back
Top Bottom