Yasipotokea haya tarehe 8 Machi, 2025 Kipigo kipo pale pale kwa anayepigwa kila mara

Yasipotokea haya tarehe 8 Machi, 2025 Kipigo kipo pale pale kwa anayepigwa kila mara

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Mchezaji mmoja Kupasuka na kuvuja Damu Kichwani au Usoni.

2. Kadi Nyekundu (ya Mchezaji tegemezi) na Timu moja kucheza pungufu.

3. Mtanange kusimama kwa dakika 3 hadi 5 kutokana na Fujo.

4. Kama kafara la Mtu maarufu na mwanachama lia lia halijafanyika au hajafa

5. Ndimu zisipotumika

6. Asipotangulizwa Mkongo katika kila Tukio

7. Timu isipoanzia Goli la bahati Kinyota la Kusini na Kipindi cha Pili kumalizia Goli zuri la Kaskazini.

Nimemaliza.
 
Ee Mwenyezi Mungu mapenzi yako yatimizwe katika kila kitu.
Nakemea kila nia ovu juu ya mchezo huo.
Ashinde yeyote uliyempa kibali mbele zako.
Acha baraka zako zimiminike ee Bwana, Acha ukuu wako uonekane ee Bwana. Jidhihirishe katika kazi za watu wako wenye nia nyofu mbele zako Bwana.

Ukadhihirike ,ukaonekane kati watu wako Bwana.Tazama mchezo huo ni ajira kwa watu wako Bwana.
Nakemea roho za shirki, imani potofu nakila kitu kilicho kinyume na mapenzi yako Bwana.
Mungu wa Ibrahim Mungu wa Isaka Mungu aa Yakobo jina lako litukuzwe katika watu wote.
Nanaomba hayo kwa njia ya Yesu Kristo Bwana na mwokozi wa maisha yangu.

Amina.
 
1. Mchezaji mmoja Kupasuka na kuvuja Damu Kichwani au Usoni.

2. Kadi Nyekundu (ya Mchezaji tegemezi) na Timu moja kucheza pungufu.

3. Mtanange kusimama kwa dakika 3 hadi 5 kutokana na Fujo.

4. Kama kafara la Mtu maarufu na mwanachama lia lia halijafanyika au hajafa

5. Ndimu zisipotumika

6. Asipotangulizwa Mkongo katika kila Tukio

7. Timu isipoanzia Goli la bahati Kinyota la Kusini na Kipindi cha Pili kumalizia Goli zuri la Kaskazini.

Nimemaliza.
Leo ndio nimeamini wewe ni popoma kweli kweli hauna akili kabisaaa
 
Mpira wa hivi ni upuuzi wa hali ya juu, usiwe serious na mpira wa bongo utaonekana huna maana na akili Kwa waungwana....
 
Back
Top Bottom